Tundu Lisu Tngaza wazi tarehe ya kurudi Tanzania

Tundu Lisu Tngaza wazi tarehe ya kurudi Tanzania
Interview with Tundu Lissu, opposition leader, Tanzania | Inter ...
Makamu mwenyekiti wa CHADEMA Bara, Tundu Lissu amesema mwishoni mwa mwezi Julai, 2020 atarejea nchini Tanzania, ambapo atahudhuria mkutano wa Baraza Kuu la chama na Mkutano Mkuu wa Julai 29 na mikutano mingine itakayojitokeza, ambao utampitisha mgombea Urais wa chama hicho kwenye Uchaguzi Mkuu, Oktoba 2020.

Pia amewaambia watanzania kuwa yupo tayari kurejea nyumbani kwenye baraza kuu la CHADEMA, na kumalizia kusema ameomba ridhaa kwa Rais.

Comments